Mchezo wa robo fainali umepangwa kuchezwa kati ya Mei 16 na 17 katika Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ambapo sisi tutakuwa wenyeji.
Mshindi wa mchezo wetu atacheza na mshindi kati ya Coastal Union na Singida Black Stars katika hatua ya nusu fainali.