Simba Sports Club
News

Tumepangwa na TMA hatua ya 32 CRDB Federation Cup

7 Feb 2025

Katika mchezo huo sisi ndio wenyeji mechi yenyewe itapigwa kati ya Machi 10-12 katika Uwanja wa KMC Complex.

Mshindi wa mchezo huo atakutana na mshindi kati ya Tanzania Prisons na Big Man katika hatua ya 16 bora.

Advertisement

Mchezo wa hatua ya 16 bora utachezwa kati ya Aprili 1-4.

Tumepata tiketi ya kucheza hatua ya 16 bora baada ya kuifunga Kilimanjaro Wonders mabao 6-0 kwenye mechi ya hatua ya 64 bora iliyopigwa Uwanja wa KMC Complex, Januari 26.

Back to homepage
Share this story