Simba Sports Club
News

Tumepangwa na Tembo FC ASFC

29 Nov 2023

Katika droo hiyo sisi ndio wenyeji ambapo mchezo huo utapigwa kati ya Disemba 15 hadi 17 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Msimu huu malengo yetu ni kuhakikisha tunachukua taji la michuano hii ambalo msimu uliopita tulilipoteza.

Advertisement

Msimu uliopita tulitolewa nusu fainali na Azam FC katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Nangwanda Sijaona mkoani Mtwara.

Back to homepage
Share this story