Simba Sports Club
News

Tumepangwa na Gaborone United Ligi ya Mabingwa Afrika

9 Aug 2025

Mchezo wa mkondo kwanza utapigwa Septemba 19-21 ambapo tutaanzia ugenini kabla ya kurejeana nyumbani kati ya Septemba 26-28.

Gaborone ambayo inadhaminiwa na Benki ya Botswana ndio Mabingwa wa nchi hiyo ambapo msimu uliopita walikusanya alama 66.

Advertisement
Back to homepage
Share this story