Kwa mujibu wa droo sisi tutakuwa wa wenyeji wa Eagle na mchezo utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mechi zote za hatua ya pili ambayo itahusisha timu 64 kutoka Ligi Kuu, Championship, Daraja la Kwanza na Mabingwa wa Mikoa zitaanza kupigwa kuanzia Desemba 9-11.
Advertisement
Msimu uliopita tulilipoteza taji hili lakini moja ya malengo yetu msimu huu ni kuhakikisha tunalirejesha mikononi mwetu.