Hatua hiyo itahusisha timu 16 bora Afrika zilizofanya vizuri katika ngazi ya klabu msimu uliopita.
KUNDI - D
SIMBA SC (TANZANIA)
ESPERANCE SPORTIVE DE TUNIS (TUNISIA)
Advertisement
ATLETICO PETROLEOS (ANGOLA)
STADE MALIEN (MALI)
Msimu uliopita tulifika fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika lakini sasa tupo Ligi ya Mabingwa na tumeingia hatua ya makundi.