Simba Sports Club
News

Tumepangwa Kundi C Ligi ya Mabingwa Afrika

12 Dec 2022

Katika kundi letu tumepangwa pamoja na miamba ya Soka barani Afrika Raja Casablanca ya Morocco, Horoya ya Guinea pamoja na Vipers kutoka Uganda.

Mechi za hatua ya makundi zitaanza kupigwa kati ya Februari 10 hadi Aprili Mosi mwakani.

Kundi C

Raja Casablanca (Morocco)

Advertisement

Horoya AC (Guinea)

Simba SC (Tanzania)

Vipers SC (Uganda)

Back to homepage
Share this story