Katika kundi letu tumepangwa pamoja na miamba ya Soka barani Afrika Raja Casablanca ya Morocco, Horoya ya Guinea pamoja na Vipers kutoka Uganda.
Mechi za hatua ya makundi zitaanza kupigwa kati ya Februari 10 hadi Aprili Mosi mwakani.
Kundi C
Raja Casablanca (Morocco)
Advertisement
Horoya AC (Guinea)
Simba SC (Tanzania)
Vipers SC (Uganda)