Simba Sports Club
News

Tumepangwa kundi B Mabingwa Afrika

6 Oct 2023

Katika kundi letu tumepangwa pamoja na timu za Wydad Casablanca ya (Morocco), ASEC Mimosas (Ivory Coast) na Jwaneng Gallaxy ya(Botswana).

Mechi za mzunguko wa kwanza zitakafanyika kati ya Novemba 24-25 ambapo kila timu lazima zikutane mara mbili nyumbani na ugenini.

Advertisement

Timu mbili za kwanza zitaingia moja kwa moja kwenye hatua ya 16 bora.

Back to homepage
Share this story