Simba Sports Club
News

Tumepangwa kundi A Kombe la Shirikisho

7 Oct 2024

Sisi ni miongoni mwa timu nne zilizokuwa katika poti A kutokana na idadi ya pointi ilizonazo kwa mujibu wa viwango vya CAF.

Tumepangwa kundi A pamoja na timu za CS SFaxien, CS Constantine, na FC Bravos.

Hili kundi letu lilivyo

1. Simba (Tanzania)

Advertisement

2. ⁠CS SFaxien (Tunisia)

3. ⁠CS Constantine (Algeria)

4. ⁠FC Bravos (Angola)

Back to homepage
Share this story