Sisi ni miongoni mwa timu nne zilizokuwa katika poti A kutokana na idadi ya pointi ilizonazo kwa mujibu wa viwango vya CAF.
Tumepangwa kundi A pamoja na timu za CS SFaxien, CS Constantine, na FC Bravos.
Hili kundi letu lilivyo
1. Simba (Tanzania)
Advertisement
2. CS SFaxien (Tunisia)
3. CS Constantine (Algeria)
4. FC Bravos (Angola)