Simba Sports Club
News

Tumemaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi

18 Feb 2024

Mchezo huo ulikuwa wa 15 na kukamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi tukifikisha pointi 36 tukiwa nafasi ya pili kwenye msimamo.

Katika michezo hiyo tumeshinda 11 tumetoka sare mitatu na kupoteza mmoja.

Said Ntibazonkiza ndiye kinara wa ufungaji kwenye kikosi chetu akiwa amefunga mabao matano akifuatiwa na Clatous Chama mwenye manne.

Hii hapa Orodha ya wafungaji

Mabao Assist

Ntibazonkiza 5 3

Chama 4 3

Kanoute 2 0

Advertisement

Bocco 1 0

Kibu 1 0

Ngoma 1 0

Jobe 1 0

Babacar 1 0

Fred 1 0

Kapombe 0 4

Zimbwe Jr 0 3

Back to homepage
Share this story