Simba Sports Club
News

Tumehitimisha Michuano Maalumu kwa kubadilishana zawadi na Al Hilal

31 Aug 2022

Baada ya kupokea zawadi hiyo, Farik ameushukuru uongozi wa klabu kwa kuonyesha mshikamano huku akisisitiza anaomba usiishie hapa bali uendelee.

"Tunawashukuru kwa ushirikiano mkubwa mliotupatia, tumefurahi kwa zawadi na tunaamini urafiki huu utaendelea baada ya hapa," amesema Farik.

Advertisement

Al Hilal walitualika kushiriki michuano maalum kwa ajili ya kuandaa timu zetu kuelekea Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika michuano ambayo Timu ya Asante Kotoko ya Ghana ilishiriki.

Back to homepage
Share this story