Wachezaji wote wako tayari kwa mchezo wa kesho na wameshiriki mazoezi hayo ambapo hakuna ambaye atakosekana kwa namna yoyote.
Morali ya wachezaji ipo juu na tutaingia katika mchezo wa kesho kwa lengo moja la kupambana kuhakikisha tunashinda kwenye mechi hiyo na kuondoka na pointi zote tatu.
Advertisement
Tunaiheshimu Geita kwa kuwa ina kikosi imara lakini tumejipanga kuhakikisha tunafanya kila linalowezekana kupata alama zote tatu.