Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa kesho.
Tunategemea kupata upinzani mkubwa kutoka kwa Geita lakini hata hivyo tumejipanga kuhakikisha tunaondoka na alama zote tatu.
Advertisement
Hakuna mchezaji yoyote ambaye tutamkosa katika mchezo wa kesho kutokana nakuwa majeruhi au kutumikia adhabu ya kadi hivyo tupo kamili kuivaa Geita kesho.