Mchezo huo ulianza kwa timu zote kushambuliana kwa zamu huku mchezo ukichezwa zaidi katikati ya uwanja.
Mechi hiyo ambayo imehudhuriwa na mashabiki wengi ilitawaliwa na mbinu zaidi za makocha kitu kilichokuwa kinavutia.
Advertisement
Kipindi cha pili kila timu ilitengeneza nafasi kadhaa za kufunga lakini changamoto ikawa kwenye kuzitumia.
Baada ya mchezo wa leo kikosi chetu kitashuka tena dimbani Jumamosi kuikabili Ihefu FC.