Simba Sports Club
News

Try Again ampa zawadi Rais Mwinyi

13 Jan 2024

Huu ni utaratibu ambao tumeweka katika michuano ya Kombe la Mapinduzi ya mwaka huu kutoa zawadi kwa Viongozi mbalimbali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ikiwa ni sehemu ya kutangaza Utalii.

Advertisement
Back to homepage
Share this story