Simba Sports Club
News Videos

'TRY AGAIN' AKIELEZA SABABU ZA KUJIUZULU NAFASI YAKE YA M/KITI WA BODI

11 Jun 2024

Try Again ametangaza maamuzi hayo yenye lengo la kutoa nafasi kwa klabu hii kuwa na mwanzo mpya uliobora zaidi.

Katika hatua nyingine Try Again amemuomba Mwekezaji na Rais wa Heshima wa klabu ya Simba Mohammed Dewji 'Mo' kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi

Advertisement

Tazama mahojiano haya hadi mwisho

Back to homepage
Share this story