Simba Sports Club
News

TPLB yaweka wazi tarehe ya Derby ya Kariakoo

6 May 2025

Mchezo huo ulipangwa kufanyika Machi 8 lakini haukufanyika kutokana na ukiukwaji wa baadhi ya kanuni.

Mchezo wa Dabi ya Kariakoo ni moja ya mechi zinazosubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi na mashabiki ndani na nje ya nchi.

Advertisement
Back to homepage
Share this story