Simba Sports Club
News

Timu yetu ya vijana mzigoni mwezi ujao

1 Jun 2022

Michuano hiyo itahusisha timu zote 16 za vijana ambazo timu zake kubwa zinashiriki Ligi Kuu ya NBC.

Timu hizo zimegawanywa kwenye makundi manne yenye timu nne kila moja ambapo sisi tumepangwa kundi A.

Kundi letu lipo kama ifuatavyo

Simba

Advertisement

Polisi Tanzania

Biashara United

Namungo FC

Katika michuano hiyo mwaka jana tulimaliza nafasi ya tatu baada ya kuifunga Azam FC kwa mikwaju ya penati 4-1 baada ya sare ya bao moja katika muda wa kawaida wa dakika 90.

Back to homepage
Share this story