Simba Sports Club
News

Timu yawasili Salama Zanzibar

26 Feb 2026

Baada ya mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji kikosi kiliondoka asubuhi kwa Treni mpaka Dar es Salaam na mchana kilianza safari ya kuelekea Zanzibar.

Advertisement
Back to homepage
Share this story