Simba Sports Club
News

Timu yawasili salama Kagera

19 Dec 2024

Tumesafiri na wachezaji 24 ambao tunaamini wapo tayari kupambana kwa ajili ya kutupatia alama tatu muhimu ugenini.

Baada ya kufika kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kutokana na uchovu wa safari na baadae kuendelea na programu Kamili.

Advertisement
Back to homepage
Share this story