Tumesafiri na wachezaji 24 ambao tunaamini wapo tayari kupambana kwa ajili ya kutupatia alama tatu muhimu ugenini.
Baada ya kufika kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kutokana na uchovu wa safari na baadae kuendelea na programu Kamili.
Tumesafiri na wachezaji 24 ambao tunaamini wapo tayari kupambana kwa ajili ya kutupatia alama tatu muhimu ugenini.
Baada ya kufika kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kutokana na uchovu wa safari na baadae kuendelea na programu Kamili.