Msafara huo umejumuisha viongozi kutoka Serikalini, Viongozi kutoka Menejimeti, Benchi la Ufundi, wachezaji na mashabiki.
Kikosi kitaweka kambi ya siku mbili hapa Casablanca kabla ya kuelekea katika mji wa Oujda ambapo kutapigwa mchezo huo wa mkondo wa kwanza.
Advertisement
Pamoja na kuwaheshimu Berkane kwa ubora na uzoefu wao kwenye michuano hii Jumamosi tutaingia uwanjani kwa malengo ya kuhakikisha tunapata matokeo chanya.