Simba Sports Club
News

Timu yawasili salama Cairo

30 Jul 2025

Baada ya kufika wachezaji wamepewa mapumziko na kesho kikosi kitaanza mazoezi rasmi.

Wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri na wapo tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya huku morali zao zikiwa juu.

Advertisement

Nyota wengine wapya tuliowasajili wataungana na wenzao kambini muda wote kutoka sasa baada ya kukamilisha taratibu za vibali.

Back to homepage
Share this story