Simba Sports Club
News

Timu yawasili salama Arusha

24 May 2024

Uongozi wa klabu unaendelea kuwaomba mashabiki wetu wajitokeze kwa wingi uwanjani ili kuipa sapoti timu ili kupata matokeo chanya.

Tayari viingilio vya mchezo vimetangazwa na vipo kama ifuatavyo:

VIP A Sh. 30,000

Advertisement

VIP B Sh. 15,000

Mzunguko Sh. 10,000

Back to homepage
Share this story