Uongozi wa klabu unaendelea kuwaomba mashabiki wetu wajitokeze kwa wingi uwanjani ili kuipa sapoti timu ili kupata matokeo chanya.
Tayari viingilio vya mchezo vimetangazwa na vipo kama ifuatavyo:
VIP A Sh. 30,000
Advertisement
VIP B Sh. 15,000
Mzunguko Sh. 10,000