Leo jioni kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kufuatia mchezo wa jana wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars tuliopata ushindi wa bao moja
Kesho kikosi kitaanza safari ya kuelekea Manyara kwa ajili ya mchezo huo wa ambao utakaopigwa Jumamosi saa 10 jioni.