Simba Sports Club
News

Timu yatua salama Sudan

26 Aug 2022

Kikosi kiliondoka jijini Dar es Salaam saa 10 alfajiri na kuwasili Khatoum saa sita mchana ambapo wachezaji wamepewa mapumziko ya saa chache.

Wenyeji wetu Al Hilal wametupokea vizuri kutoka tulipowasili Uwanja wa Ndege hadi hoteli tuliyofikia na kila kitu ambacho tunastahili kupata.

Advertisement

Saa 11 jioni ambapo huko nyumbani itakuwa saa 12 kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili (recovery) baada ya uchovu wa safari.

Back to homepage
Share this story