Baada ya kikosi kufika wachezaji watapumzika kwa saa chache kabla ya kwenda mazoezini jioni kuweka miili sawa (recovery).
Tutaingia katika mchezo Jumapili tukiwa na lengo la kutafuta alama tatu muhimu ili kujihakikishia nafasi ya kuingia robo fainali ya michuano hii.