Simba Sports Club
News

Timu yatua salama Mtwara

2 May 2022

Baada ya kutua Uwanja wa Ndege wa Mtwara kikosi kimepata mapokezi makubwa kutoka kwa mashabiki waliojitokeza kwa wingi kuwalaki wachezaji.

Tunaamini mchezo utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani ingawa tutahakikisha tunapambana kurudi na alama zote tatu jijini Dar es Salaam.

Advertisement

Lengo letu ni kukusanya alama tatu katika kila mchezo tutakaocheza kuanzia sasa kwa kuwa bado hatujakata tamaa ya kutetea ubingwa wetu.

Back to homepage
Share this story