Idadi kubwa ya mashabiki wamejitokeza kwa wingi kuwalaki wachezaji kitu ambacho kimewaongezea morali.
Baada ya kufika kikosi kitafanya mazoezi ya mwili kujiweka sawa (recovery) kwa ajili ya uchovu wa safari na kesho kitafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kushuka dimbani Jumatatu kuikabili Mbeya City.