Simba Sports Club
News

Timu yatua salama Malawi

8 Sep 2022

Baada ya kufika saa mbili asubuhi wachezaji watapumzika mpaka jioni watakapofanya mazoezi ya utimamu wa mwili (recovery).

Kikosi kitafanya mazoezi ya mwisho kesho saa 10 jioni katika uwanja wa Bingu ambao utatumika kwa mchezo huo ambao tumejipanga kuhakikisha tunafanya vizuri.

Advertisement

Tumesafiri na wachezaji 25 ambao watakuwa chini ya kocha Juma Mgunda akisaidiwa na Seleman Matola.

Back to homepage
Share this story