Simba Sports Club
News

Timu yatua salama Kilimanjaro

25 Nov 2022

Baada ya kuwasili wachezaji watapumzika usiku wa leo na kesho watafanya mazoezi ya mwisho kujiweka sawa kabla ya mchezo huo.

Ingawa hatukupata ushindi kwenye mchezo uliopita lakini morali za wachezaji iko juu kuhakikisha wanapambana kuwapa furaha Wanasimba.

Advertisement

Tunafahamu umuhimu wa pointi tatu katika mchezo wa Jumapili na kila mchezaji atakayepewa nafasi atakuwa tayari kuhakikisha lengo hilo linafanikiwa.

Back to homepage
Share this story