Simba Sports Club
News

Timu yatua salama Botswana

1 Dec 2023

Kikosi kimetua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa PG MATANTE katika mji wa Francistown baada ya safari ya masaa matano ya kuwa angani kutoka jijini Dar es Salaam.

Timu inatarajia kufanya mazoezi katika Uwanja wa Obedi Itani ambao tutautumia kwenye mchezo wa kesho kama kanuni za Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) zinavyoelekeza.

Advertisement

Tumeondoka na kikosi cha wachezaji 20 ambao tunaamini watatuwezesha kupata ushindi katika mchezo wa kesho.

Back to homepage
Share this story