Simba Sports Club
News

Timu yatua Dar, Maandalizi ya Orlando yaanza

10 Apr 2022

Baada ya kutua Dar maandalizi ya mchezo wetu wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Orlando Pirates yataanza mara moja.

Kwa sasa tumesahau kila kitu kilichotokea katika mechi yetu dhidi ya Polisi na tunaelekeza nguvu kwenye mchezo huo wa robo fainali.

Advertisement

Mchezo dhidi ya Orlando utapigwa katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jumapili Aprili 17, saa moja usiku.

Back to homepage
Share this story