Baada ya kurejea kikosi kinaanza moja kwa moja maandalizi ya mchezo wetu wa Derby dhidi ya watani Yanga utakaopigwa Jumapili ijayo Uwanja wa Benjamin Mkapa saa 11 jioni.
Tayari viingilio vya mchezo vimetangazwa na tunaendelea kuwaomba mashabiki wanunue tiketi kwa wingi.
Advertisement
Matarajio yetu ni kuona mashabiki wanajitokeza kwa wingi na kujaza majukwaa yetu yote kama tunavyofanyaga tukikutana na mtani.