Simba Sports Club
News

Timu yarejea salama Dar, Wachezaji wapewa mapumziko

28 Nov 2022

Baada ya kuwasili wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja na kesho mazoezi ya kujiandaa na mchezo unaofuata dhidi ya Coastal Union yataanza.

Desemba 3, kikosi chetu kitashuka katika Uwanja wa CCM Mkwakwani jijini Tanga kuikabili Coastal.

Advertisement

Tunajua mchezo dhidi ya Coastal utakuwa mgumu na ndiyo maana maandalizi yataanza mapema kesho ili kuhakikisha tunaenda kupambana na kupata alama tatu.

Back to homepage
Share this story