Baada ya kufika wachezaji wamepewa mapumziko na watarudi mazoezini Jumanne kujiandaa na mchezo wa robo fainali ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Ihefu.
Mchezo wetu wa robo fainali dhidi ya Ihefu utapigwa Ijumaa, Aprili 7 saa 10 jioni katika Uwanja wa Uhuru.
Advertisement
Mchezo huo tunaupa umuhimu mkubwa kwakuwa lengo letu ni kuhakikisha tunashinda taji hili kwahiyo tunapaswa kushinda kila mechi ili kufanikisha hilo.