Simba Sports Club
News

Timu yarejea salama Dar

25 Apr 2022

Kikosi kilianza safari ya kurejea nyumbani kutoka Afrika Kusini mchana na kimetua salama nyumbani kwa ratiba nyingine.

Baada ya kutolewa na Orlando Pirates kwa mikwaju ya penati sasa tunaelekeza nguvu katika michuano ya Ligi Kuu pamoja na Azam Sports Federation Cup huku tukijiandaa na maandalizi ya mchezo wetu wa Derby wikiendi ijayo mara moja.

Advertisement
Back to homepage
Share this story