Kikosi kilianza safari ya kurejea nyumbani kutoka Afrika Kusini mchana na kimetua salama nyumbani kwa ratiba nyingine.
Baada ya kutolewa na Orlando Pirates kwa mikwaju ya penati sasa tunaelekeza nguvu katika michuano ya Ligi Kuu pamoja na Azam Sports Federation Cup huku tukijiandaa na maandalizi ya mchezo wetu wa Derby wikiendi ijayo mara moja.