Simba Sports Club
News

Timu yarejea nyumbani salama

1 Mar 2022

Baada ya kufika Dar wachezaji wameruhusiwa kwenda kuziona familia zao na kesho watarajea mazoezini kujiandaa na mechi ya Ligi Kuu ya NBC itakayopigwa Ijumaa Machi 4, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku dhidi ya Biashara United.

Mechi hiyo ni muelendelezo wa ligi ambapo tutakuwa tunaanza rasmi mzunguko wa pili.

Advertisement

Katika mchezo huo tunatarajia uwepo wa baadhi ya wachezaji wetu ambao walikuwa majeruhi na kuikosa mechi kadhaa ambao watakuwa wamepona na wako fiti.

Back to homepage
Share this story