Wachezaji walipewa ruhusa ya kwenda kukutana na familia zao baada ya ushindi wa mabao 5-0 tuliopata Jumapili Oktoba 30.
Wachezaji wote wamefanya mazoezi isipokuwa Jimmyson Mwanuke na Israel Patrick ambao bado ni majeruhi.
Wachezaji walipewa ruhusa ya kwenda kukutana na familia zao baada ya ushindi wa mabao 5-0 tuliopata Jumapili Oktoba 30.
Wachezaji wote wamefanya mazoezi isipokuwa Jimmyson Mwanuke na Israel Patrick ambao bado ni majeruhi.