Simba Sports Club
News

Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Wydad

16 Dec 2023

Baada ya ushindi wa jana dhidi ya Kagera Sugar leo kikosi kimeendelea na mazoezi kwa ajili ya mchezo huo ambao tunahitaji alama tatu kwa kila hali.

Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo kikamilifu na wapo kwenye hali na morali zikiwa juu hasa zikichagizwa na ushindi tuliopata jana.

Advertisement

Katika mchezo dhidi ya Wydad tutawakosa nyota wetu wawili Sadio Kanoute na Said Ntibazonkiza kwakuwa wanatumikia adhabu ya kadi tatu za njano.

Back to homepage
Share this story