Baada ya kukamilisha michuano ya Mapinduzi wachezaji walipewa mapumziko ya siku chache na sasa wamerejea mazoezini.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker hata wale waliokuwa katika majukumu ya timu za Taifa.
Baada ya kukamilisha michuano ya Mapinduzi wachezaji walipewa mapumziko ya siku chache na sasa wamerejea mazoezini.
Wachezaji wote wameshiriki mazoezi hayo chini ya Kocha Mkuu, Steve Barker hata wale waliokuwa katika majukumu ya timu za Taifa.