Simba Sports Club
News

Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Jwaneng Galaxy

27 Nov 2023

Mchezo wetu dhidi ya Jwaneng utapigwa katika Uwanja wa Obed Itani Chilume kwenye mji wa Francistown saa 10 jioni kwa saa za nyumbani Tanzania.

Tunajua umuhimu wa kupata pointi tatu kwenye mchezo huo ingawa tunajua utakuwa mgumu lakini tupo tayari kupambana.

Advertisement
Back to homepage
Share this story