Simba Sports Club
News

Timu yarejea mazoezini kujiandaa na Bigman FC

21 Mar 2025

Baada ya ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Dodoma Jiji, Machi 14 wachezaji walipewa mapumziko ya siku chache.

Mara baada ya kumalizika mchezo dhidi ya Bigman kikosi kitaanza safari ya kuelekea Misri kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry utakaopigwa Aprili 2.

Advertisement
Back to homepage
Share this story