Baada ya kufika Dar es Salaam mchana wachezaji wamepewa mapumziko ya saa chache ambapo jioni watafanya mazoezi ya Gym kuweka miili sawa.
Kuanzia leo kikosi kitaendelea na maandalizi ya mchezo wetu wa marudiano wa nusu fainali ya dhidi ya Stellenbosch utakaopigwa Jumapili nchini Afrika Kusini.
Advertisement
Mchezo huo utapigwa saa 10 jioni katika Uwanja wa Moses Mabhida katika mji wa Durban.