Simba Sports Club
News

Timu yarejea kutoka Zanzibar

26 Mar 2024

Timu iliondoka Jumanne kuelekea Zanzibar na imekaa siku saba na kufanya mazoezi chini ya Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha.

Baada ya kuwasili Dar es Salaam kikosi kimeingia kambini moja kwa moja na programu ya mazoezi itaendelea kama kawaida.

Advertisement

Kambi ya Zanzibar imeenda vizuri na wachezaji wote wamerudi wakiwa katika hali nzuri kimwili na kiakili.

Back to homepage
Share this story