Baada ya kufika Dar es Salaam wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja.
Wachezaji watarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa hatua ya pili ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) utakaopigwa Jumamosi, Desemba 10 Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Baada ya kufika Dar es Salaam wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja.
Wachezaji watarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa hatua ya pili ya michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) utakaopigwa Jumamosi, Desemba 10 Uwanja wa Benjamin Mkapa.