Simba Sports Club
News

Timu yarejea jijini Dar es Salaam

25 Oct 2023

Baada ya kikosi kufika wachezaji wamepewa mapumziko na kesho watarejea mazoezini kujiandaa na mchezo wa ligi unaofuata dhidi ya Ihefu FC.

Mchezo wetu dhidi ya Ihefu utapigwa Jumamosi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa saa moja usiku.

Advertisement

Tutakuwa na siku mbili za kujiandaa na mchezo dhidi ya Ihefu lakini tunaamini maandalizi yetu yatatufanya kupata matokeo chanya.

Back to homepage
Share this story