Baada ya kikosi kurudi wachezaji wamepewa mapumziko ya siku moja na Jumatano wataingia kambini kabla ya Alhamisi kushuka dimbani kuikabili JKT Tanzania.
Pamoja na ugumu wa mechi kutokana na ligi kuelekea mzunguko wa pili tumejipanga kuhakikisha tunashinda kila mchezo.