Simba Sports Club
News

Timu yarejea Dar, yaanza maandalizi dhidi ya Pamba

15 Mar 2026

Baada ya timu kurejea Dar es Salaam maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu unaofuata dhidi ya Pamba Jiji ambao utachezwa Machi 19 katika Uwanja wa CCM Kirumba.

Kikosi kitandoka Jumanne usiku kuelekea Mwanza tayari kwa mchezo huo ambao tunategemea utakuwa mgumu.

Advertisement

Malengo yetu ni kuhakikisha tunashinda katika mchezo uliopo mbele ili kuweza kufanikisha mpango wa kutwaa ubingwa.

Back to homepage
Share this story