Simba Sports Club
News

Timu yarejea Dar wachezaji wapewa mapumziko

29 Aug 2025

Baada ya kurejea wachezaji wamepewa mapumziko ya siku tatu na baada ya hapo kikosi kitarejea mazoezini kuendelea na maandalizi ya msimu.

Wachezaji walioitwa kwenye timu za Taifa wamepewa ruhusa ya kwenda kujiunga nazo na watakakapomaliza majukumu watajiunga na kikosi.

Advertisement

Jumatatu kikosi kitarejea mazoezini kuendelea na programu ya mwalimu.

Back to homepage
Share this story