Simba Sports Club
News

Timu yarejea Dar wachezaji wapewa mapumziko

2 Nov 2024

Baada ya kurejea wachezaji wamepewa mapumziko mafupi kabla ya kesho kuanza maandalizi ya mchezo unaofuata.

Mchezo unaofuata utakuwa Novemba 6, dhidi ya KMC

Advertisement

Kabla ya kuanza safari kikosi kilifanya mazoezi ya utimamu wa mwili mkoani Kigoma ili kuwaondoa wachezaji na uchovu wa mechi.

Back to homepage
Share this story